Burudani
Elton John amsifu gavana wa NY kusimia ndoya ya jinsia moja
Mwanamuziki kutoka nchini Uingereza Elton John, amemshukuru na kumwagia sifa govana wa New York Marekani Andrew Cuomo kwa kuudhulia katika hafla ya kuchangia Elton John AIDS Foundition.
Pia alimwagia sifa kwa kurusimia vizuri na kuunga mkono ndoa ya jinsia moja, kwani kwa upande wake inamfanya kutimiza ndoto yake ya kuipa heshima ndoa ya jinsia moja na kukubaliwa na watu kama ilivyo ndoa nyingine.