Mahojiano
Eric Omondi kumuiga Diamond kuhusu wanawake (+ Video)
Wakati anaingia Tanzania kwa ajili ya Festival ya Cheka tu ambayo ilifanyika siku ya Jumamaosi mchekeshaji namba moja Afrika mashariki kutoka Kenya @ericomondi aliongea manenno hayo kuwa Tanzania anatafuta mke.
WAkati anaulizwa maswali na mwandishi wetu kutoka Bongo5 @el_mandle kuhusu kuja Tanzania bila mke wake ambaye alimpata kati ya wale 9 alitoa majibu kuwa hajafanikiwa kuja anye kwa sababu anataka kuwa na muakilishi kila nchi yaani kuwa na mke kila nchi za Afrika mashariki.