Michezo

Europa League: Arsenal wapangiwa moto nusu fainali

Droo ya hatua ya nusu fainali ya kombe la Europa League 2017/18 imepangwa leo Ijumaa.

Baada ya kufanikiwa kupenya kwenye hatua hiyo kwa ubabe mkubwa, Arsenal wamepangwa kucheza na Atletico Madrid ya Hispania.

Wakati huo huo Olympique de Marseille wamepangwa kucheza na Salzburg.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents