Burudani
Exclusive: EFM waeleza kwanini wamempiga ‘stop’ Mavoko kwenye Komaa Concert 2018 licha ya kumtangaza (Video)
Muimbaji, Rich Mavoko ameshindwa kufanya show yake ya kwanza ndani ya tamasha la Komaa Concert 2018 jijini Dar es salaam toka aondoke WCB baada ya uongozi wa EFM kuamua kusitisha asifanye show licha ya kumtangaza kwamba atakuwa kwenye tamasha hilo liliohudhuriwa na watu 30000.
Bifu za kutiana umasikin hizo sasa ugomvi wake yy na WCB nyie unawahusu nn au na nyie former wa WCB
Inaweza usiwe bifu ila awali mkataba waliingia na nani
Kwakua aliingia mkataba kwahiyo wamalize tofauti zao ili awe huru
Bdo anadayiwa ma million za wcb Walowekez kwak mpak alipe kwanz unafikili diamond ni wamchezo mchezo alishaga wambia ulete utani ungin ila kwa pesa yak unakuw unamutafuta
Komesh mshenz uyo anahangayik mala iyi pesa ya diamond itamupita muma puwa achezey wangin ila pale alipotea njia
Bogus treat
Uend mbinguni boya ww
Hhhh matusi nin unanitukna si fatiliyi
Mimi nawauliza tu hao jamaa hivi Omar Katanga ndio ‘kawakimbia’ mazima mara baada ya kuona anabaniwa KIAINA kwa kunyimwa fursa mbalimbali kama watangazaji wengine hasa wa vipindi vya michezo ama?!
wcb sio ya mchezo mchezo huyo mavoco amalize kwanza mkataba na wcb ndo hawe huru
Alipe harama ndio ajitowe hehehe blalful
Ingekuwa clouds FM wamefanya hivyo,hapa watu mngetukana mpaka basi,lkn coz ni efm na wcb naona mnasapoti ahahahahaaaa..wabongo bana!!
Kiswahili chenyew shiida,choko wewe