Michezo
EXCLUSIVE: ”Gharama ya kumsajili Bernard Morrison rabda ningeuza Nyumba yangu, Luc Eymael namjua sana alikuwa Congo,” Mwinyi Zahera (+Video)
Aliyekuwa Kocha wa Klabu ya Yanga, Mwinyi Zahera amemchambua mchezaji Bernard Morrison na vile anavyomjua nyota huyo machachari kunako Jangwani. Zahera amefunguka pia namna anavyomfahamu Kocha wa Yanga, Luc Eymael hata kabla ajapewa kazi ya kuwafundisha Mabingwa hao wa Kihistoria Ligi Kuu Tanzania Bara lakini pia walipofikia na Mabosi zake wa zamani Young Africans