Michezo

EXCLUSIVE: ”Gharama ya kumsajili Bernard Morrison rabda ningeuza Nyumba yangu, Luc Eymael namjua sana alikuwa Congo,” Mwinyi Zahera (+Video)

Aliyekuwa Kocha wa Klabu ya Yanga, Mwinyi Zahera  amemchambua mchezaji Bernard Morrison na vile anavyomjua nyota huyo machachari kunako Jangwani. Zahera amefunguka pia namna anavyomfahamu Kocha wa Yanga, Luc Eymael hata kabla ajapewa kazi ya kuwafundisha Mabingwa hao wa Kihistoria Ligi Kuu Tanzania Bara lakini pia walipofikia na Mabosi zake wa zamani Young Africans

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents