Michezo
Exclusive: Ifahamu historia ya Mzee Kilomoni ndani ya Simba ‘Nilicheza namba 9 Sunderland, Alitufanya tubadili jina, Kuna mzee ana umri wa miaka 140 katika baraza letu la wadhamini, Hati ninayo ndani’ (+video)
Kila klabu ya mchezo wa mpira wa miguu inahistoria yake, hii leo Bongo5 Media imepata bahati ya kufanya mahojiano na mwennyekiti wa baraza la wadhamini wa klabu ya Simba, Mzee Hamisi Ally Kilomoni na kuzungumzia mambo mengi.