Burudani

Exclusive: Linah Sanga aizungumzia show yake ya TV ‘3D’ itakayoanza kuruka wiki hii

Linah Sanga anatarajia kuonekana kwa mara ya kwanza kwenye kipindi chake cha TV kiitwacho 3D kupitia Clouds TV.

Linah

Akiongea na Bongo5, Linah amesema show hiyo ya watoto itaanza kuoneshwa Jumapili hii. 3D itakuwa ikizunguka mitaani kuzungumza na watoto wenye vipaji mbalimbali vinavyostahili kuendelezwa huku pia akiwasisitiza kusoma.

“Lengo langu ni kuwahamasisha wazazi kwa pande zote mbili kwamba wasiwalemaze watoto wao kwenye vipaji zaidi kuliko kwenye kusoma na kwa upande mwingine waheshimu vipaji ambavyo watoto wao wanavyo,” amesema.

Msikilize zaidi hapa.

[soundcloud url=”http://api.soundcloud.com/tracks/104415419″ params=”” width=” 100%” height=”166″ iframe=”true” /]

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents