Michezo
EXCLUSIVE: Mchezo wa Ruvu Shooting Vs Azam FC waahirishwa kufuatia maji kujaa dimba la mabatini,Pwani (Video)
Mchezo wa Ligi kuu soka Tanzania Bara baina ya Ruvu Shooting dhidi ya klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC uliyopangwa kupigwa leo kwenye dimba la mabatini umekhairishwa.
https://www.instagram.com/p/BheFQfPHHvV/?taken-by=azamtvtz
Mchezo huo uliyopangwa kupigwa majira ya saa 8:00 mchana umeghairishwa kufuatia uwanja wa mabatini,Pwani kujaa maji baada ya mvua kubwa kunyesha.
kwamujibu wa Azam Tv mchezo huo sasa utapigwa hapo kesho siku ya Ijumaa ya Aprili 13, 2018 majira ya saa 10:00 jioni.