Habari
Exclusive: Q-Chilla atoa tangazo muhimu
Abubakar Katwila aka Q-Chilla amezungumza na Bongo5 kutoa taarifa muhimu kwa mashabiki wake.
“I just have to do it cause it’s the right time, bidhaa mpya inakuja sumu juu ya sumu, my diehard fans all over.Soon natarajia kurelease wimbo wangu mpya. Ni mapema kusema jina la wimbo na production imefanyika wapi ila fans wategemee makubwa mwaka huu like I said before I just want to introduce a different person.
Inatia moyo nina furaha kuona watu walivyoipokea beautiful. Please let my people realise I am on my move, I love them and appreciate them. Vocalist assassin, strong government, Chocolate City.”