Burudani
Exclusive: TID afunguka ishu ya kuvamiwa na kudundwa “Bado nipo hospitali” (Audio)
Baada ya video kusambaa mtandaoni zikimuonyesha msanii TID akidundwa, Bongo5 imefanya mahojiano na rais huyo wa Rader na kueleza kilichomkuta huku akidai kwa sasa bado yupo hospitali anaendelea na matibabu.