Michezo

Fabrigas atua kimafia Anfield

Kikosi cha Chelsea kimetua jijini Liverpool kwa ajili ya mchezo wao wa ligi kuu ya Uingereza dhidi ya Liverpool utakao pigwa katika dimba la Anfield hii leo siku ya Jumamosi huku kiungo wake wakati Cesc Fabregas akionekana kuvalia maski inayomuonesha kuziba uso na kufananishwa na namna alivyo kuwa mwana dada, Jennifer Lawrence katika filamu ya X-Men akiigiza kama ‘Mystique’.

 Mchezaji wa Chelsea , Cesc Fabregasakionekana kuvaa maski na kujifunika uso

Muonekano wake unafananishwa na mwanadada, Jennifer Lawrence alivyoigiza kama Mystique katika filamu ya X-Men

Chelsea inatua Anfield kutafuta pointi tatu muhimu ili kuwa katika nafasi nzuri ya kuwania ubingwa licha yakuwa bado ligi hiyo ikionekana mbichi na yenye ushindani mkubwa.

Kocha wa Chelsea, Antonio Conte akiwasili Liverpool 

Mchezaji David Luiz akiwasili

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents