Habari
Facebook messenger sasa kuanza kutuma ujumbe wa sauti
Katika kile kinachoonekana kama kulipa mapigo ya WhatsApp, Facebook imeupdate application yake ya Messenger ya simu zinazotumia mifumo ya Android na iOS ili kusupport ujumbe wa sauti.Watumiaji wanaweza kubonyeza kitufe cha + kasha kuchagua kurekodi.
App hiyo itarekodi ujumbe wa sauti na kuutuma kwa mpokeaji.Facebook pia inafanyia majaribio kile kiitwacho Voice over Internet Protocol (VoIP) nchini Canada ili kushindana na Sype na Google Voice. Kama ikifanikiwa Facebook inatarajia kuzindua VoIP Marekani na Ulaya.