Mitindo
Fahamu mkoba wa kipekee unaouzwa Tsh. milioni 60 ambao unamilikiwa na Mtanzania
Yaani kwa ulimwengu wa fasheni utastaajabu mambo mengi sana ikiwemo bei za baadhi ya vitu ambavyo ukivitazama kwa jicho la mbali huwezi kudhania kuwa vinauzwa kwa bei hizo.
Sasa kuna mkoba wa kike unaitwa Birkin ambao unatengenezwa na kampuni ya Hermes ya nchini Ufaransa ambao unatajwa kuwa ni moja ya mikoba ya kike yenye gharama zaidi duniani.
Mkoba huo kwa sasa Tanzania unamilikiwa na Mjasiriamali na Mfanyabiashara, Jacqueline N. Mengi na kwa mujibu wa mtandao wa eBay mikoba hiyo bei yake ni dola $26,500 ambayo ni sawa na tsh. milioni 68 .
Sifa kubwa ya kipekee ya mikoba hiyo ni kwamba inatengenezwa kwa ngozi ya mamba na ina ubora usio na mashaka pia hata ukubwa wa Brand ya Hermes ambayo inatajwa kuwa moja ya Brand kubwa duniani za mavazi.
HEE UNAVIDEO NDANI
😂 oxgen nin
Unampatia Mtu Uhai wa Miaka mingapi?
Mh! Unahera Zakuchezea Wengne Hawana Hata Pakulala Kamtolee Mungu Hata Zaka Kama Utaweza
💲💲
Huo ni uchiz
Doh.!! Haya buana wenye hela zao
huyo dada cyo mjasiriamali tena hyo ni mtu na pesa zake…kwayo nakuomba mwandishi ubadili maelezo sawa
Duuuuuu!!!!!!
Hela zamatibabu zinawakosa hizo za mikoba wanatoa wapi?
Baadae asije lalamika kuwa anaumwa tuchangie kama mwenzake kule redion mkoba wa kuwekea chupi na lipshine na chanuo naped ndo 60 hapana
Mmh
Mbona Hata mimi ninao kwa uweza WA Mungu 😀😀😀😀
Napita tu