Burudani
Faiza: Nimesha sema sugu akitaka mtoto nampa
Muigizaji wa filamu nchini Faiza Ally, ameenedelea kusisitiza kauli yake juu ya kutaka kumzalia Sugu.
Kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram mrembo huyo ameendelea kuonyesha nia yake ya kutaka kumuongezea mtoto wa pili Sugu ambaye awali alizaa naye mtoto wa kwanza anayefahamika kama Sasha.
“Huyu mtoto jamani Ana baba yake kha ??? sema nimesha sema sugu akitaka mtoto nampa , na ninavyo mfyatulia kiroho safi lzm niprinitia tu ??? sio kesi simnajuaga bado nampendaaga ? @lijunior_ mwanangu huyu sasa ni baba wa 4 umepewa we kweli you born to be a star kid ?, ameandika mrembo huyo.