Habari
Familia ya Dkt. Jakaya Kikwete yapatwa na msiba mzito
Baba mkwe wa Dkt. Jakaya Kikwete afariki dunia usiku wa kuamkia leo
Taarifa iliyotolewa jana Alhamisi Julai 19, 2018 na mbunge Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete kwa niaba ya familia, imesema shughuli za mazishi zitakuwa Msasani nyumbani kwa familia ya Kikwete, huku akieleza ratiba ya mazishi.