Michezo

FC Barcelona wafanyiwa unyama

Klabu ya Barcelona imelazimishwa sare ikiwa nyumbani kwake Camp Nou dhidi ya klabu ya Getafe kwenye mchezo wa Ligi Kuu Soka nchini Hispania (La Liga).

Kwenye mchezo huo ambao Barcelona walionekana kuutawala kwa kiasi kikubwa lakini sio Messi wala Suarez waliofanikiwa kupata goli.

Kwa matokeo hayo Barcelona wanabaki kileleni kwa alama 59 wakifuatiwa na Atletico Madrid wenye alama 52.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents