Michezo

Federer atwaa taji la BNP kwa kumchapa Wawrinka

Mcheza Tenesi Roger Federer ameshinda taji la wazi la BNP Paribas baada ya kumchapa Stan Wawrinka kwa 6-4 na 7-5.

Wawrinka anayeshika nafasi ya tatu kwa ubora alianza kwa kuongoza kwa 2-0 kabla ya Federer kurudisha na kumfunga mfululizo mpinzani wake huyo.


Stan Wawrinka

Mchezo huu ulikuwa ni wa 23 kwa nyota hawa wa tenesi kuchuana.

Elena Vesnina nae ametwaa taji la michuano hiyo kwa upande wa wanawake kwa mkumshinda Svetlana Kuznetsova 6-7 (6-8) 7-5 6-4.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents