Mahojiano
Femi one kutoka Kenya, Wasanii wa Tanzania wanalogana, natamani kufanya kazi na Harmonize (+Video)
Msanii wa muziki kutoka Kenya ambaye alitamba na ngoma yake ya #TUTAWEZANA @femi_one yupo Tanzania kwa ajili ya show yake usiku wa leo pale Kidimbwi.
Akiongea na Waandishi wa habari amefunguka mengi sana kuwakubali wasanii wa kike kama @officialnandy @gigy_money_og @mimi_mvrs11 @vanessamdee @rosa_ree na @fridaamaniofficial
Mbali na hilo ameeleza kuwa anatamani sana kufanyta Collabo na @harmonize_tz kwa sababu anapenda uandishi wake.
Pia Femi One amewaasa wasanii kutoka TZ kuacha kualalamika kulogana badala yake kazi ya mtu ndio inaonekana.
https://www.youtube.com/watch?v=oR54V5axKS0&t=1s