Ferooz kulibadilikia gemu
Kukua kwa sanaa ya muziki hapa nchini ndivyo kuibuka vipaji vipya na kukuwa kwa vipaji vya muzikin wa kale.Hata kama msanii mwanzo alikuwa akifanya muziki kama masihara kwa lengo yeye anajua muda huu itabidi achague moja kuachana na muziki au kukaza ilikuendelea kuwepo. Hapo ndipo linapokuja neno ‘CREATER’ usipokuwa mvumbuzi utaambulia patupu.
Big Up kwa mwanamuziki Ferooz, ambaye hivi karibuni nimesikiliza Song lake na kugundua kweli jamaa ni mbunifu na mwanamuziki wa kweli. Ameimba katika stili ya mnanda akiwa na mwanamuziki toka ThT Shaz B, wimbo unaitwa Ndege Mtini.
Ferooz aliweza kujipanga na hatmaye akatoka na kitu hicho, ambacho anasema wimbo huo anasubiri kwanza video na ndiyo aichie Audio, nasi tunakuahidi fuatilia ‘tukupe kila kitu kutoka kwenye wimbo huo.
Picha mpya za Ferooz