Habari

Feza Girls yanga’ra matokeo kidato cha sita

Shule ya Wasichana ya Feza Girls imeongoza matokeo ya kidato cha sita kwa watahiniwa wake 67.

Matokeo hayo ya kidato cha sita kwa mwaka 2017 yametoka leo .

Shule ambazo zipo kwenye kumi bora ni Marian Girls (Pwani) iliyoshika nafasi ya tano, Mzumbe (Morogoro) nafasi ya sita, St Marry Mazinde Juu (Tanga) nafasi ya saba, Tabora Boys (Tabora) nafasi ya nane, Feza BOYS (Dar es Salaam) nafasi ya tisa na Kibaha ya Pwani iliyoshika namba kumi.

Na Emmy Mwaipopo

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents