Picha
FHM lamtaja Mila Kunis kama msichana mrembo zaidi duniani (2013), Rihanna ni wa 2
Jarida la FHM, limemtaja muigizaji wa filamu Mila Kunis kama msichana mrembo zaidi duniani kwa mwaka 2013. Milena Markovna Kunis ana asili ya Ukraine ambao yeye na wazazi wake walihamia Marekani mwaka 1992.
Filamu alizoigiza ni pamoja na Ted, Friends with Benefit, Max Payne na zingine.