Michezo

FIFA yataja majina 12 ya makocha wanaowania tuzo ya kocha bora wa mwaka 2017

Shirikisho la mpira wa miguu duniani (FIFA) limetangaza majina ya makocha kumi watakaowania tuzo ya kocha bora wa mwaka 2017.

Katika kinyang’anyiro cha kuwania tuzo makocha kutoka ligi kuu England (EPL) wameongoza kwa kutajwa kwa majina manne, Ligi kuu ya Hispania (La Liga) Hispania majina matatu, Ligi kuu Ujerumani (Bundesliga) imetoa majina mawili huku Ufaransa na Italia ikitoa jina moja moja.

1- Massimiliano Allegri-Juventus

2- Carlo Ancelotti-Bayern Munich

3- Antonio Conte-Chelsea

4- Luis Enrique-Hispania

5- Pep Guardiola-Manchester City

6- Leonardo Jardim-AS Monaco

7- Joachim Low-Ujerumani

8- José Mourinho-Manchester United

9- Mauricio Pochettino

10- Diego Simeone-Atletico Madrid

11– Tite-Brazil

12- Zinédine Zidane-Real Madrid

Upigaji kura unaanza Agosti 21 na kufungwa Septemba 7 mwaka huu, kura zitapigwa na Makocha wa timu za Taifa, Manahodha, baadhi ya Wawakilishi kutoka vyombo vya Habari mbalimbali vitakavyoteuliwa pamoja na Mashabiki kwa Mujibu wa FIFA.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents