Michezo

FIFA yatangaza makundi ya Kombe la Dunia 2018, Kundi C&F mtoto hatumwi dukani

Shirika la soka ulimwenguni (FIFA) limetangaza makundi ya michuano ya Kombe la Dunia itakayofanyika mwakani nchini Urusi.

Makundi ya Kombe la Dunia 2018

Katika makundi hayo makundi yanayoonekana hatari zaidi ni Kundi C ambako kuna Ufaransa, Australia, Peru na Denmark na Kundi F linaloundwa na Ujerumani, Mexico, Sweden na Jamhuri ya watu Korea.

Mchezo wa ufunguzi wa michuano hiyo utafanyika kati ya Mwenyeji, Urusi dhidi ya Saudi Arabia tarehe 24 juni 2018 kunako dimba la Luzhniki.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents