Filamu ya Chumo yazinduliwa
Filamu ya Chumo juzi imezinduliwa katika viwanja vya Biafra, kwas mtindo wa kipekee hasa kutoka na sehemu kubwa wa washiriki wake kutoonekana katika tamasha la uzinduzi wake.
Lakini mambo mengine yote yalienda sawa, ingawa mapungufu mengi yalijitokeza, jambo lililo onyesha wazi kwamba waandaaji wa tamasha hilo walikuwa hawajajipanga kikamilifu.
Kwa upande wa mwitikio wa watu umekuwa mkubwa, na kwa upande wa filamu ni mzuri ya kulidhisha, na imeonyesha ni jinsi gani watanzania tulivyosonga mbele, kwa hatua kadhaa. Wanasema filamu hiyo kwa sasa ipo madukani, hasa hasa inatoa elimu kubwa juu ya wakina mama wajawazito, kujikinga na ugonjwa wa Maraliab ilikupunguza vifo.
Mashabiki wakiangalia filamu ya Chumo.
Polisi wakiimalisha ulinzi
Miongoni mwa washariki mzee Makatu, akiwa na mpiga picha.