Bongo Movie
Filamu ya Respect Nyerere ndani ya Butiama
Yule nguli wa kubadili sauti Stive Nyerere amesema kwa sasa tayari amesharudi kutoka Butiama na kwa sasa anaendelea na filamu yake ya Respect Nyerere katika jiji la Dar es salaam husussani sehemu zile ambazo mwalimu alifanyia mikutano yake wakati akiwa hapa.