Burudani
Fm Academia wajiandaa kwa burudani
Bendi ya muziki wa dansi yenye wanamuziki wengi tuko Kongo, Fm Academia wakiwa mazoezi katika ukumbi wa New Msasani siku ya jumanne, hapa mwigizaji na mwimbaji na pia mbunifu wa staili ya uchezi Pancho Mwamba akiwaonyesha wanenguaji njinsi ya kucheza.
Vipi hapa, kweli kila mchezaji anastaili yake ya uchezaji.
Pembeni Nyoshi al Sadat, aka Presedal akiwa kwenye kiti (Mwenye rasta) akiwaangalia wapiga soro wake jinsi walivyokuwa wakikunguta nyuzi.