Freestyle ilivyoshika
Washiriki wa tamasha la Freestyle, wakijaribu kuonyeshana vitu vipya ambavyo wanavyo katika mashairi yao kwa kuweza kumchana msanii mwenzake, kwa kile anachokiona bila kutumia lugha chafu (Matusi) wala kumshika kwa lengo la kutoleta ugonvi.
Hii ilifanyika katika viwanja vya club Sunciro, Sinza.
Dj Fetty akimtangaza mshindi wa kwanza ambaye ndiye aliyeonekana kusumbua kuliko wote Flavor, ingawa na wengine walipitishwa.
Farid Kubanda, akiwa na washiriki watano walioingia
NchaKali akiwa na mshiriki, katika vituko kidogo.
Haleluya aliyevaa shati la kijani, mshiriki ambaye alitokea kukubalika na mashabiki kwa wingi, na ndiye aliyeleta hamasa kubwa pindi alipotolewa na kufanya majaji kumrudisha tena kutokana na fujo za mashabiki. Naye aliingia katika tano bora ambao watashindana na wengine kutoka mikoani.
Ma Mc wakitoa somo kidogo kwa washiriki
Washindi wa tano wa shindano la mkali wa Freestyle
Tamasha likiisha kwa kuwabeba washindi