Burudani
Freshly Ground Ndani ya Bongo
Bongo 5 imepata habari kuwa Freshly Ground, bendi maarufu hasa kwa wimbo wao walioshirikina na Shakira, Waka waka, uliokuwa wimbo wa ‘World Cup 2010’, watafanya concert tarehe 8 Desemba mwaka huu katika hoteli ya Moevenpick jijini Dar es Salaam.
Hayo yalisemwa na Keltouma BOURHIMI , mratibu wa sanaa na matukio wa Alliance Francaise. Show hiyo inayotarajia kuanza majira ya saa mbili n nusu, inauza ticket kwa bei ya 50,000 tsh.
Wadau wote mnakaribishwa.