Burudani

Freshly Ground Ndani ya Bongo

fresh

Bongo 5 imepata habari kuwa Freshly Ground, bendi maarufu hasa kwa wimbo wao walioshirikina na Shakira, Waka waka, uliokuwa wimbo wa ‘World Cup 2010’,  watafanya concert tarehe 8 Desemba mwaka huu katika hoteli ya Moevenpick jijini Dar es Salaam.

Hayo yalisemwa na Keltouma BOURHIMI , mratibu wa  sanaa na matukio  wa Alliance Francaise. Show hiyo inayotarajia kuanza majira ya saa mbili n nusu, inauza ticket kwa bei ya 50,000 tsh.

Wadau wote mnakaribishwa.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents