Burudani
G Lover :Niliwaweka wasanii 25 benchi ili Alikiba arekodi albamu lakini nilichopata…! (Video)
Mtayarishaji mkongwe wa muziki na mwanzilishi wa studio ya G Record, G Lover amefunguka kueleza kwamba kitu ambacho kilimuweka kando kusimamia wasanii ni baada ya wasanii wake ambao alitumia nguvu nyingi kuwatengeneza kuondoka mikononi mwake bila makubaliano.