Habari
G-Nako kuja na reggae inayozungumzia mpira!! ‘Wara na Mpira’, (Sikiliza kionjo hapa)
Baada ya Mama Yeyoo, G-Nako aka G-Wara Wara atarejea tena na ngoma nyingine yenye mahadhi ya reggae iliyofanyika kwenye studio za Noizmekah Production studios kwa Defxtro. Sikiliza kipande cha wimbo huo aliomshirikisha Ben Pol.