Burudani
Gabo alikuwa king’asti wa rafiki yangu, nilimpa kazi na demu mwenye hela – Faiza Ally (+video)
Msanii wa Filamu Bongo, Faiza Ally amefunguka kutoka kimapenzi na Msanii wa Filamu, Gabo zigamba ,amesema si kweli kuwa amedate na msanii huyo ila msanii huyo alimtafutia demu mwenye hela na alikuwa King’asti.
Faiza amefunguka hayo leo, kwenye mahojiano yake na kiss f.M Redio katika kipindi cha ‘kiss most wanted’.