Gaitano Kagwa kusherehesha shindano la Miss East Africa 2012

KAGWA (534x800)

Mashindano ya Miss East Africa 2012 yanafanyika leo katika ukumbi wa Mlimani City Dar es salaam.

Kwa mujibu wa taarifa ya mtayarishaji wa mashindano hayo Rena Callist amesema washiriki watakaopanda kuchuana tayari wamejiandaa vema.

Mwakilishi wa Burundi Ariella Kwizera
Mwakilishi wa Burundi Ariella Kwizera

Mshehereshaji wa onesho hilo ni mtangazaji wa kituo cha m-net Gaetano Kagwa aliyewahi kuiwakilisha Uganda kwenye shindano la Big Brother Africa.

Miss-East-Africa-2012-Eritrea-Rahwa-Afeworki
Miss-East-Africa-2012-Eritrea-Rahwa-Afeworki

Jumla ya zawadi zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 100 zitatolewa kwa washindi wa mashindano hayo.

Washiriki katika pambano hilo ni kutoka Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda,Burundi, Somalia, Djibout,Sudan, Eritrea, Sudan Kusini na Shelisheli.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents