Burudani
Gangster ya Chege na Temba
Wasanii wawili kutoka katika Kundi la Tmk Wanaume Family chini mkubwa Fella, Mh Temba na Chege Chigunda, wakimshirikisha Feroozi wanatarajia kumaliza video ya wimbo wao wa Kama ni Gengster, hivi karibuni chini ya Adam Juma wa Visual rab Rec.
Akiongea na Bongo5, mkubwa Fella, anasema video hii wanataka iwe ya kimataifa zaidi.
Chege akiwa katika mikakati ya kuhakikisha video inakwenda sawa.
Mkubwa na wanawe, aliamua kujiachia na kimwana kidogo.
Ferooze, akiwa na washikaji wake wakijiandaa kuingia kwenye part, ya wimbo huo.
Sharo Milionea, naye alikuwepo kwenye kukamilisha video ya wimbo huo, na hapa akiwa na mkubwa Fella
Warembo wakisubiri video ianze
Feroozi Mh Temba na Sumagi wa Hot Pot Family katika Pozi