Habari
GEITA: Mthumiwa mmoja kati ya watatu afariki akiwa kituo cha Polisi baada ya kutekeleza mauaji – Video
GEITA: Mthumiwa mmoja kati ya watatu afariki akiwa kituo cha Polisi baada ya kutekeleza mauaji - Video
Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita Mponjoli Mwabulambo, amethibitisha kuwashikilia watu watatu kwa kosa la mauaji ya mwanamke mmoja kutokana na imani za kishirikina. Lakini amesema mtuhumiwa mmoja amefariki.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Geita Mponjoli Mwabulambo.
Akiongea na waandishi wa habari leo Machi 14, 2020, amethibitisha kutokea kwa mauaji ya mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 56 na wanawashikilia watu watatu ambapo mmoja alipoteza maisha.
Kamanda Mponjoli ameelezea kwa kina sababu za mwanzoni za mauaji hayo.
By Ally juma.