Burudani
George Clooney na mpenzi wake Amal Alamuddin watua Tanzania kula bata
Muigizaji wa Marekani, George Clooney ametua nchini Tanzania akiwa na mpenzi wake mpya Amal Alamuddin.
George Clooney na mpenzi wake Amal Alamuddin wakiwa mbugani, Tanzania
Wawili hao wanadaiwa kuwa mbugani (haijulikani ni wapi) walikoenda kutazama wanyama. Picha inayowaonesha wakiwa pamoja mbugani imeonekana na haijulikani jinsi mpiga picha huyo alivyoipiga.