Michezo
Gift Macha wa Azam tv aichambua Taifa Stars baada ya sare, atajapengo la Samatta (+Video)
Mzalishaji wa habari za michezo, Mtangazaji mahiri wa Azam Tv, Mchambuzi wa soka na Mwandishi wa CAF online nchini Tanzania, @giftmacha_official ameuchambua mchezo wa Tanzania dhidi ya Tunisia ambao umemalizika kwa sare ya goli 1 – 1.