Guardiola aiteka England aweka rekodi ya-ajabu
Ni kwamara ya kwanza katika historia ya tuzo za mwezi katika soka la England kocha kutwaa zaidi ya mara tatu.
Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola hatimaye ametangazwa kuwa ndiye mshindi wa tuzo hizo kwa mwezi wa Disemba, itakumbukwa kuwa Mhispania huyo alitwaa mfululizo ya Septemba, Oktoba na Novemba.
🗓🗓🗓🗓
An unprecedented 4️⃣ in a row! for @ManCity boss Pep Guardiola – @BarclaysFooty Manager of the Month for December pic.twitter.com/Wjhw91x8G8
— Premier League (@premierleague) January 12, 2018
City wameshinda michezo saba na kutoka suluhu mmoja kati ya nane wa;iyocheza mwezi uliyopita ambapo ni timu ya Crystal Palace pekee ndiyo iliyowabana mbavu kupitia kwa Shakhtar.
Pep Guardiola named @premierleague Manager of the Month for a record fourth successive time! #mancity https://t.co/o8b2CYdCJA
— Manchester City (@ManCity) January 12, 2018
The Blues wameshinda jumla ya mabao 19 kwa mwezi Disemba kila sifa anastahili kupewa meneja Pep kwa kuibadili timu hii ya Sheikh Mansour bin Zayed bin Sultan bin Zayed bin Khalifa Al Nahyan yenye maskani yake Etihad.