Michezo
Gurdiola amtema Yaya Toure katika kikosi cha vilabu bingwa ulaya mwaka 2016-17
Kocha wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola amemwacha nje kiungo wa kati wa timu hiyo yaya Toure katika kikosi chake cha kombe la vilabu bingwa Ulaya mwaka 2016-17.
Pep Gurdiola ameonesha wazi kuwa hamuhitaji Toure, hiyo ni baada ya kutoka kwa list ya wachezaji 21 wa Man City watakaoshiriki michuano ya ligi ya mabingwa Ulaya kukosekana kwa jina la Toure.