Michezo
Gus Poyet atangazwa kuwa kocha mpya wa klabu hii ya China
Kocha wa zamani wa klabu za Sunderland na Real Betis, Mruguay Gus Poyet ametangazwa kuwa kocha mpya wa klabu ya Shanghai Shenhua ya China akichukua mikoba ya Mhispania Gregorio Manzano.