Burudani
Hakuna Media yenye nguvu ya kutufukuza Tanzania – Babu Tale
Meneja wa Diamond Platnumz, Babu Tale amefunguka kwa kusema kwamba hakuna media ambayo inaweza kuwafukuza WCB Tanzania. Tale amesema hayo Jumatano hii wakati akizindua albamu ya msanii wake, Diamond Platnumz iitwayo ‘A Boy From Tandale’.