Habari

Hakuna Mtanzania aliyeingia kwenye fainali ya tuzo za ‘CNN Multichoice African Journalist Of The Year 2013’

Aibu yetu au ya nani? Hii ni habari mbaya kwa sekta ya habari Tanzania kwamba hakuna mwandishi/mtangazaji wa Tanzania aliyechaguliwa kuingia kwenye fainali ya tuzo za ‘CNN Multichoice African Journalist Of The Year 2013’

africa-multichoice

Hata hivyo Kenya imebahatika kuwa na waandishi sita huku wengine wakitokea Afrika Kusini, Nigeria, Uganda na kwingineko.

Akitangaza majina hayo, mwenyekiti wa panel ya majaji Feria Haffajee amesema walipokea majina kutokana nchini 42 barani zikiwemo nchi zinazozungumza Kifaransa na Kireno. Washindi watatangazwa kwenye tuzo hizo zitakazotolewa jijini Cape Town, Afrika Kusini Jumamosi ya October 12 ambapo mtangazaji wa CNN, Isha Sesay atakuwa host.

Haya ndio majina 27 ya waandishi walioingia fainali kutoka nchini 11:

Gifty Andoh Appiah, Joy News TV, Ghana

Rebekah Awuah, GBC 24, Ghana

Domingos Bento, Seminário Novo Jornal, Angola

Thomas Otieno Bwire, Pamoja FM, Kibera, Kenya

Axcel Micael Chenney, Le Défi Média Group, Mauritius

Florence Dallu, Freelance for Koch FM, Kenya

Nicola de Chaud, Freelance for Carte Blanche, South Africa

Adrian de Kock, The Star, South Africa

Ibrahima-Benjamin Diagne, Radio Futurs Médias (RFM), Senegal

Msindisi Fengu & Yandisa Monakali, Daily Dispatch, South Africa

Selma Inocência, Rede de Comunicação Miramar, Mozambique

Geoff Iyatse, The Guardian, Nigeria

Thanduxolo Jika & Media 24 Investigations Team, Media 24, South Africa

Judy Jeptum Kosgei & Mauritius Oduor, Citizen TV, Kenya

Lucas Ledwaba, City Press, South Africa

Lázaro Mabunda, O País, Mozambique

Carol Natukunda, New Vision, Uganda

Amon Ngabo, Uganda Broadcasting Corporation, Uganda

Tolu Ogunlesi, Freelance for Ventures Africa, Nigeria

Oluwatoyosi Ogunseye, Sunday Punch, Nigeria

Brenda Okoth, The Star, Kenya

Nassima Oulebsir, El Watan, Algeria

Passant Rabie, Egypt Today, Egypt

Roseline Wangui & Wambui Kurema, NTV, Kenya

Soma zaidi kuhusu kutangwazwa kwa majina hayo kwenye website ya CNN HAPA.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents