Habari

Halima Mdee awashukuru Watanzania ‘Nimeshatoka hospitali na afya yangu inaimarika’

Mbunge wa Kawe jijini Dar es salaam kupitia CHADEMA Halima James Mdee,  amewashukuru Watanzania kwa maombi yao pindi alipokuwa akiugua, huku akiwajulisha hali yake inavyoendelea kwa sasa.

2

Halima Mdee ameandika ujumbe huo kwenye ukurasa wake wa twitter na kusema kwamba hivi sasa amesharuhusiwa kutoka hospitali hivyo yupo nyumbani kwake, na anendelea vizuri kiafya.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents