Michezo

Hamisi Kiiza aibukia klabu ya Free state Stars ya Afrika Kusini

Mshambuliaji wa zamani wa vilabu vya Simba na Yanga, Hamisi Kiiza ameasajiliwa na klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini inayaoshiriki ligi kuu.

image-3-696x464

Kiiza baada ya kutemwa na klabu ya Simba aliyodumu nayo kwa msimu mmoja tu, Kiiza amejiunga na klabu hiyo kwa mkataba wa miaka miwili akiwa chini ya kocha wa klabu hiyo Rantsi Mokoena.

Hamisi Kiiza atambulishwa rasmi pamoja na wachezaji wengine walio sajiliwa na klabu hiyo ya Free State Stars ya Afrika Kusini.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents