Muziki

Harmonize aachia remix ya ushamba akimshirikisha Naira Marley kutoka Nigeria (+ Audio)

CEO wa lebo ya @kondegang @harmonize_tz ameachia remix yake ya ngoma ya USHAMBA. Katika remix hiyo @harmonize_tz amemshirikisha msanii kutoka Nigeria @nairamarley

@nairamarley ndio yule msanii ambaye alitoa ngoma inayoitwa SOAPY ambaye alikuwa anaonyesha kama yupo gerezani na baadae beat ya ngoma hiyo alikuja kuitumia @diamondplatnumz kwenye ngoma yake ya BABALAO ambapo @diamondplatnumz alisema kuwa aliwasiliana naye.

@nairamarley amekuwa na uhusiano mzuri sasa na baadhi ya wasanii kutoka Tanzania.

Unaipa asilimia ngapi remix hii ya Ushamba,……..?

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents