Muziki
Harmonize aachia remix ya ushamba akimshirikisha Naira Marley kutoka Nigeria (+ Audio)
CEO wa lebo ya @kondegang @harmonize_tz ameachia remix yake ya ngoma ya USHAMBA. Katika remix hiyo @harmonize_tz amemshirikisha msanii kutoka Nigeria @nairamarley
@nairamarley ndio yule msanii ambaye alitoa ngoma inayoitwa SOAPY ambaye alikuwa anaonyesha kama yupo gerezani na baadae beat ya ngoma hiyo alikuja kuitumia @diamondplatnumz kwenye ngoma yake ya BABALAO ambapo @diamondplatnumz alisema kuwa aliwasiliana naye.
@nairamarley amekuwa na uhusiano mzuri sasa na baadhi ya wasanii kutoka Tanzania.
Unaipa asilimia ngapi remix hii ya Ushamba,……..?