Burudani

Harmonize aeleza sababu za msanii wake Skales kutoka Nigeria kutofika, Ibrah ndio mtoto wa kwanza (+Video)

Harmonize amezungumzia sakata la msanii aliyopo chini ya lebo ya Konde Gang raia wa Nigeria Skales ambaye hakuhudhuria katika tukio la kutambulishwa Country boy.

Mbali na hilo pia Ibarah na Country Boy wamezungumza haya kwenye tukio hilo. Ibrah ameelza kuwa “Mimi ndio mtoto wa kwanza katika lebo hii ya Konde Gang hivyo anawakaribisha wenzake kwa ajili ya kuendeleza gurudumu la muziki mbele.

https://www.youtube.com/watch?v=hmN8vQQGL8k

https://www.youtube.com/watch?v=ifZID98YS5Q

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents