Burudani
Harmonize afichwa msikitini Tanga kuhofia usalama wake
Msanii wa muziki kutoka WCB, Harmonize aka Konde Boy amelazimika kufichwa ndani ya msikiti wa Chuda kwasababu za kiusalama kufuatia idadi kubwa ya watu kumzonga wakati mwili wa Mzee Majuto ulipokuwa ukiswaliwa.
Harmonize hii leo amefika kwenyemazishi hayo jijini Tanga mara baada ya Diamond kuonekana katika tukio la kuuaga mwili wa Mzee Majuto hapo jana Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Taarifa kutoka jijini Tanga zinaeleza kuwa, Harmonize ametolewa kwenye eneo hilo kupitia gari la Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martine Shigela.
tokea igunga mjini tupo pamoja sana mpakatamati yakipindi hiki
Taarifa haijajitosheleza
Ok p
Nyie waandishi bana
Afichwe ana kitu gan kikubwa
😂😂😂
U mean Harmorappa ?
anasifa kama za bosi wake
afichwe kwa lip na nyie makanjaja??
Uandishi wa kikanjanja,habari haijakamilika na itakuwa mlisimuliwa na MTU aliyewapigia simu akiwa hana Salio la kutosha.
Pw
Weka bando ufungue link usome taarifa nzima!.
Sema ww ndio haujafungua links upate taarifa iliyokamilika!.
Weka bado upate taarifa kamil.
Yaani watu wanaenda kuzika kumbe wengine wanaenda kutafuta kiki pumbafu kabisa
Ah Sharifu Moka niitie Amirion Omary aje awasikilize jamaa zake wabowa kinoma
Nafungua link iko nearly blank.what’s this?
Mnapenda sifa sifa za kulazimisha anakitugani hasa cha thamani kuliko msiba wenyewe
Achan kutafuta kiki
Takataka wakubwaa!!!
Nonsense
Acheni ujinga kila cku Story tu
Hhhhhhhhhh msikitini..
Teee kwalipi ??
Unaweza ukazurura tu huku ukakutana na msanii au mwanamitindo halaf ni tajir na wala hana baunsa 😂😂😂
Waandishi bwana yote tu hayo ni kwa sababu tu funguweni link
Sasa mbon hamjasema kosa lake nin
David Marwa Mahende mim nimefungua hakuna lolote
Duuh
Kwan alifanyaje
Ana ugomvi
Mshumaaaaa 🤣🤣🤣🤣
Waheed Muhene Said si lazma uko sisi apa kwetu karibu tuh huwa wanakuja na wakija huwa wanajiuliza aswa hivi hawa wazanzibar hawana tv au vip
Bomboclat
Aiseeeeee kwahio kuna hadithi mpya tuifuatile
Bongo 5 like yangu nai unlike kuanzia leo Mb zang bora niangalie chura YouTube kuliko kufungua link zenu
Uandishi wa kipuuzi ndio maana mnakula vitasa
David Marwa Mahende lengo la kumzonga n nn tuambie ka taarifa imekamilika?
Sa suti inahusika vip msiban.
kwa sababu ya umaharufu wake kila mtu alitaka apige nae picha
Hawa ndio wa kupigwa hawana adabu sio yule wa kituo cha dini
Mzee hujuii harmonize nii nan
HARMONIZE MTU MKUBWA NYIE WASENGE MKIONA VIDEO NDO MTAANIN MSEMAA POST KUM NYIEE
Muuh Platnumz . ni msanii wakawaida sana sana. Ktk mziki. Hormonize na marehem majuto. Je nani alikua bora zaidi acha kutafuta sifa ktk misiba. Wangapi wameenda ktk msiba ule wenye umaarufu kuzidi yeye. Acheni kujivisha sifa za kijinga pasipo stahili sifa. Ushawahi ona wasanii gani wanafanya sifa za hovyo ktk misiba. Wema sepetu. Ni maarufu kuliko hormonize mbona hajatafuta kiki. Daimond ni maarufu kuliko hormonize mbona hajatafuta kiki.
Kwa lipi hasa
povuuuu linawatoka
Alijiny’ea hadi afichwe
Msenge mamaako
#pussy
Usenge
😀😀😀
Halafu hii video haijaonesha tukio lolote lililo sabasha mtu kufichwa
David Marwa Mahende hakuna story kuna video
David Marwa Mahende unafikiri sijafungua link?
Nataka kuuliza, kwahiyo hapo msikitini harmonize alivua viatu au aliingia navyo!!!!
Msikiti gani?ukubari kumficha bro akiwa amevaa maheren masikion ata kama ya kubandika achen ulongo bana
Ovyooo
Tatizo una akili cha kwanza wema umaarufu wake ni ndan ya tanzaniap pekee nje ya nchi amna k2 chapil diamond hakwenda tanga kwenye mazish cha tatu harmonize alienda kwenye msiba tanga kwaajil ya kuzika ndipo maelfu ya watu wakaacha mambo ya mcba na kumfata harmonize ndipo walipo mficha iyo ndyo 7babu kwaiyo ucpende lopoka kwa v2 ucvo vijua
Pumbavu Afichwe Alikuwa kabeba Nini huyo Mwanamziki Chifu Naona Povu linakutoka Boss
Alikuwa kabeba Nini huyo HARMONIZE kwenye msiba wawatu hadi wakamficha Sijaerewa hapo
Msenge ww na huyo harmonize wako… Eti “mtu mkubwa” 😂😂 kenge mmoja tu
Mmm kosa kubwa n lipi musiposti ukumbavu kma hamuwezi kujieleza…
Amefanya nn bwana mbna hamujiele 2kaelewa..
sasa ndonauliza alizika marehemu kisha