Michezo
Harry Kane na Ranieri wapata tuzo ya mwezi Machi Ligi Kuu Uingereza
Mcheazaji Harry Kane wa Tottenham amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu Uingereza mwezi Machi.
Mshambuliaji huyo wa Uingereza aliongoza kikosi chake katika kuwania taji kwa kufunga magoli matano katika mechi nne huku kikosi cha Mauricio Pochettino kikiendelea kuipa presha Leicester inayoongoza ligi.
Na kocha wa Leicester Claudio Ranieri nae amechaguliwa kuwa kocha bora wa Ligii Kuu Uingereza mwezi Machi