Harusi Trade Fair yafana
Tamasha la Harusi Trade Fair lafana katika ukumbi wa Daimond likiwa chini ya Mustapha Hassanali, lengo likiwa kuhamasisha watu wanaofanya shughuli mbalimbali za Send Off, Harusi na Fungate, kuweza kujua ni vitu gani vya muhimu vinahitajika na wapi wanaweza kuvipata.
Alisema tamasha hili huu nimwaka wa pili, na lengo kufanya kila mwenzi wa nne ‘April’ ya kila mwaka , ili kuwesha kutoa maelezo na ushsuri juu ya namna gani watu wanavyoweza kupata huduma ya harusi na mavazi stahiki ya kisasa na rangi nzuri zinazohitajika siku hiyo ya harusi.
Pia kulikuwa na wafanya biashara madogomadogo wanaotoa ushauri na kupamba katika siku ya ‘EVENTS’ mbalimbali, kwa ghalama nafuu .
Cheni na manyukato yakiwa yamepamba kwaajili ya kunadiwa, pindi mtu akihitaji anaweza kuuziwa.