Michezo

Hatimaye Wizara yabariki vikao vya viongozi wa matawi Yanga SC

Klabu ya Yanga imepata kibali cha kufanya mikutano yake ya viongozi wa matawi ambayo hapo awali ilizuiliwa kufanyika na Jeshi la Polisi.

Wizara ya mambo ya ndani imeipatia Yanga kibali maalum cha kufanya mkutano wao siku na tarehe watakayopanga kufanyika.

Wizara imeitaka klabu hiyo kutumia fursa hiyo vema na kushirikiana na Jeshi la Polisi katika kuhakikisha hakuna uvunjifu wa amani utakao jitokeza katika vikao vyao.

 

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents