Habari
Hatutavumilia kuona watu wanakatana mapanga – Waziri Nchemba (+video)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi , Mwigulu Nchemba azungumza leo Bungeni Dodoma kujibu baadhi ya hoja za Wabunge ambapo miongoni mwa aliyoyaelezea hoja yambunge aliyetaka kujua sababu za Serikali kutumia Askari Wengi katika vipindi vya uchaguzi.